Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
BOSI wa Maendeleo Soka la Vijana Yanga, Mwinyi Zahera amerudishwa tena kuwa kocha wa timu ya Taifa lao la DR Congo akichukua nafasi ya Mkongomani mwingine aliyetemwa katika mabadiliko.
Taarifa iliyotolewa jana na Shirikisho la Soka Congo ni imesema Zahera anarudi katika kikosi hicho kuwa kocha msaidizi akimsaidia Muargentina Hector Cuper.
Zahera anachukua nafasi ya kocha Daouda Lupembe ambaye ameondolewa katika kikosi hicho baada ya kupata kazi katika timu ya Sanga Balende inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo.
Taarifa iliyotolewa jana na Shirikisho la Soka Congo ni imesema Zahera anarudi katika kikosi hicho kuwa kocha msaidizi akimsaidia Muargentina Hector Cuper.
Zahera anachukua nafasi ya kocha Daouda Lupembe ambaye ameondolewa katika kikosi hicho baada ya kupata kazi katika timu ya Sanga Balende inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo.
Moroco
Egypt
Algeria (
1)
Tunisia (
1)
South Africa
DR Congo
ANG (
Sudan (
Libya (
Guinea(
TANZANIA (
Nigeria (
bayana kabisa ameonyesha hasira za wazi baada ya chama lake la Barcelona kumtoa katika mechi ya kipigo dhidi ya Rayo Vallecano juzi Jumapili na sasa amezidi kuibua uvumi wa mpango wake wa kwenda Manchester United.
| Nasreddine Nabi: