Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unaambiwa Johannesburg kwa sasa yote ni RED [emoji837]
Screenshot_20220422-175744_OGInsta%2B.jpg
 
Kocha mzuri ila nina mashaka na uongozi wa timu kama hautaingilia majukumu yake

Maana man u wanapenda kusajili wachezaji wenye majina ila wapate hela ila ukija uwanjani hawampi kocha anacho hitaji

Ooh so sad
Ndo maana juzi nilisikia mchambuzi akisema tatizo si kocha ila management yenyewe ina shida .
 
[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr

Kitu kimoja kuhusu muda ni kuwa haujawahi kuongopa, kitu kimoja kuhusu maendeleo ni zile hatua, hakuna mtoto aliyezaliwa akaanza kutembea

Utaamua kuitaja Al Ahly na Zamalek na historia za wakazi wa Cairo, utawataja kundi la wenye pesa na kundi la walala hoi, wakajigawa na wakaunda timu zao! Sasa ni historia kwakuwa waliamini muda

Kuna siku uwanja wa Mkapa utapendezeshwa na moshi mwekundu ama baruti za sherehe, utapendezeshwa kwa ukuta wa watu kama Borg El Arab, Signal Iduna au Bernabeu

Kwakuwa muda unazidi kwenda, wanaona kwenye TV na wanasafiri wakijifunza, ile Roma haikujengwa kwa siku moja, waulize Mapacha wawili Romulus na Remus waliujenga mji ule miaka 753 kabla ya ujio wa Yesu

Kuna muda utafika Mkapa kujaa haitohitaji kelele wala watu kuzunguka sana, Shabiki ataingia kwenye simu atalipa tiketi yake na kusogea kwa Mkapa! Wakati huo taarifa ni press release, social networks na App

Kuna muda utafika, huo wasaa ukifika watu watakata tiketi za msimu! Watalipa kadi za wanachama bila shuruti, watakata kadi za Mashabiki bila kelele! Huo muda utafika

Hakuna aliewaza Real Madrid itakuwepo ilipo leo! Sio Mchezaji wa zamani wa timu hiyo alikuwa anaitwa Santiago Bernabeu Yeste, wala sio Juanito Sanches Santillana, ni muda tu ulifahamu

Ni lini hiyo siku itafika Tanzania? Ni siku ile ubingwa wa Afrika umetua nchini, uwe Shirikisho au Klabu bingwa ndipo hapo mpira wa nchi utabadilika rasmi na kwenda kwenye dunia ya kileo, sio mbali sana tunakaribia kufika

Natamani kusafiri mbele ya muda ila wanasayansi na somo la TIME TRAVELLING wanasema nitulie hapo hapo Ifakara, Morogoro jimboni kwa Mheshimiwa wangu @asenga__abubakar nisiseme kitu ila muda utafika huenda sio miaka hii ila utafika


Screenshot_20220422-180020_OGInsta%2B.jpg
 
Ndio
Uongozi ukiwa na maamzi ya kazi inayo hitaji utaalam lazima mafanikio yapotee kabisa

Angalia makocha walio achiwa Uhuru wa kuamua timu iweje wanavyo pata mafanikio kwa wakati

Aisee mbaya sana inawacost big time
Yeah hili ni kweli kabisa makocha wengine wanafanya kazi nzuri sana ....inatakiwa wasiingilie sana mambo yao .
 
[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr

Kitu kimoja kuhusu muda ni kuwa haujawahi kuongopa, kitu kimoja kuhusu maendeleo ni zile hatua, hakuna mtoto aliyezaliwa akaanza kutembea

Utaamua kuitaja Al Ahly na Zamalek na historia za wakazi wa Cairo, utawataja kundi la wenye pesa na kundi la walala hoi, wakajigawa na wakaunda timu zao! Sasa ni historia kwakuwa waliamini muda

Kuna siku uwanja wa Mkapa utapendezeshwa na moshi mwekundu ama baruti za sherehe, utapendezeshwa kwa ukuta wa watu kama Borg El Arab, Signal Iduna au Bernabeu

Kwakuwa muda unazidi kwenda, wanaona kwenye TV na wanasafiri wakijifunza, ile Roma haikujengwa kwa siku moja, waulize Mapacha wawili Romulus na Remus waliujenga mji ule miaka 753 kabla ya ujio wa Yesu

Kuna muda utafika Mkapa kujaa haitohitaji kelele wala watu kuzunguka sana, Shabiki ataingia kwenye simu atalipa tiketi yake na kusogea kwa Mkapa! Wakati huo taarifa ni press release, social networks na App

Kuna muda utafika, huo wasaa ukifika watu watakata tiketi za msimu! Watalipa kadi za wanachama bila shuruti, watakata kadi za Mashabiki bila kelele! Huo muda utafika

Hakuna aliewaza Real Madrid itakuwepo ilipo leo! Sio Mchezaji wa zamani wa timu hiyo alikuwa anaitwa Santiago Bernabeu Yeste, wala sio Juanito Sanches Santillana, ni muda tu ulifahamu

Ni lini hiyo siku itafika Tanzania? Ni siku ile ubingwa wa Afrika umetua nchini, uwe Shirikisho au Klabu bingwa ndipo hapo mpira wa nchi utabadilika rasmi na kwenda kwenye dunia ya kileo, sio mbali sana tunakaribia kufika

Natamani kusafiri mbele ya muda ila wanasayansi na somo la TIME TRAVELLING wanasema nitulie hapo hapo Ifakara, Morogoro jimboni kwa Mheshimiwa wangu @asenga__abubakar nisiseme kitu ila muda utafika huenda sio miaka hii ila utafika


View attachment 2196639
Umeongea kwa hisia sana

Muda ni sehemu ya mwamuzi wa haki
 
Back
Top Bottom