Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kocha Mfaransa Hubert Velud mwenye umri wa miaka 62 amechaguliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Burkina Faso akichukua nafasi ya Kamou Malo aliyetimuliwa mara baada ya mashindano ya AFCON2021 yaliyofanyika nchini Cameroon kutamatika, Velud aliwahi kuzifundisha, TP, JS Kabylie na ES Setif zote za barani Afrika.
Screenshot_20220422-200156_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom