Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ndio dearHahaha imetoka moyoni kweli hii
Tena mmepata kocha mpya nyie ... mambo mazuri yanakuja
Ndio dearHahaha imetoka moyoni kweli hii
Acha niendelee kucheka tu mimi [emoji1787][emoji1787]Mi sijawahi auntie, kweli tena.
Sikujua kama uko hivi🤣🤣Hahhaha
Basi mpate wote alama sawa [emoji23][emoji23] .
Ye hajawahi msemaBora yeye vipi?
[emoji1787][emoji1787]I hope mmeshatoboa this is 2022
Hapana bhanaSikujua kama uko hivi[emoji1787][emoji1787]
Yaaani ebu tuone jamani itakavyokuwaNdio dear
Tena mmepata kocha mpya nyie ... mambo mazuri yanakuja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana bhana
Wote nyie ni rafiki zangu ... bora mgawane points tu hapa .
Kwanza tuache, kama unashabikia "manure" naomba unyamaze tu. Sisi wavumilivu, tuna vitambi...hata kuishi na wanawake tunaweza..ukiishabikia arsenal upo kwenye list ya wanaoweza kuishi vizuri na wanawake.Nyie mkifungwa hamna shida maana mshazoea.
Maneno huumba!Hivi si tulikwambia tu jamani hili ni jina tu [emoji1787][emoji1787]
YeahYaaani ebu tuone jamani itakavyokuwa
Rafiki yangu akifanya urafiki na adui yangu, wote wanakuwa marduk zangu🤣🤣🤣🤣Hapana bhana
Wote nyie ni rafiki zangu ... bora mgawane points tu hapa .
Sishabikii timu za sjabu mimi.Kwanza tuache, kama unashabikia "manure" naomba unyamaze tu. Sisi wavumilivu, tuna vitambi...hata kuishi na wanawake tunaweza..ukiishabikia arsenal upo kwenye list ya wanaoweza kuishi vizuri na wanawake.
Kocha mzuri ila nina mashaka na uongozi wa timu kama hautaingilia majukumu yakeNdio dear
Tena mmepata kocha mpya nyie ... mambo mazuri yanakuja
HahahaRafiki yangu akifanya urafiki na adui yangu, wote wanakuwa marduk zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana bwana. [emoji1787]Maneno huumba!