Ti apumzike ili iweje. [emoji1787][emoji1787] ukiona mtu anasema angepumzika ujue arsenal tuachieni Ronaldo wetuAngepumzika kwanza dah
Naaaam [emoji847][emoji847]Ngoja tusubiri siku ya match
Nguvu moja
Kila kitu kinawezekana ujue mambo yanabadilikaHahahaha nimecheka jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Iwe hivi jamani [emoji23]
[emoji1787][emoji1787]Shem mimi sio kapuku, unaniita huku unataka niwe kapuku kweli? Kwa salam hii na baridi hii mdogo wako ataona wivu, we subiri tu..
SawaKaka.
[emoji23][emoji23][emoji23] dear sikujua wewe ni shabiki wa Man UTi apumzike ili iweje. [emoji1787][emoji1787] ukiona mtu anasema angepumzika ujue arsenal tuachieni Ronaldo wetu
NdioKila kitu kinawezekana ujue mambo yanabadilika
Ndio, mimi sio kapuku.Alisema haji huku ye sio kapuku
Acha double standard rafiki, si ulinitakia ushindi wewe🤣🤣🤣 leo unamtakia shunie, haya sema nani unamtakia ushindi.[emoji23][emoji23][emoji23] dear sikujua wewe ni shabiki wa Man U
Basi nawatakia ushindi [emoji1544]
Mi sijawahi auntie, kweli tena.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuja na uzi ni ujinga wako na uzee huo uzi wa nini sasa kwamba ndio atakuwa wa kwanza au
Unamdanganya nani?Ndio, mimi sio kapuku.
Nyie mkifungwa hamna shida maana mshazoea.Acha double standard rafiki, si ulinitakia ushindi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo unamtakia shunie, haya sema nani unamtakia ushindi.
Bora yeye vipi?Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde amewataka Watu waache kumsema vibaya Hayati Magufuli kwasababu hayupo na hawezi kujibu.
"Ndugu zangu tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutatusaidia hawezi kujibu hayupo kama ulikuwa na tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu, Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa tunamuachia Mwenyezi Mungu kuja kutoa hukumu, Watu mnakuwa waoga Viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema huu ni uoga uliopitiliza"
"Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu alichia ubunge hapa akaondoka tuliobaki hapa ni Watu wa Magufuli na tulifanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu tusiweke unafiki, hawa wanaomsema vibaya Magufuli na kumsifu Samia ni wanafiki wakubwa Samia akiondoka watamsema hivyohivyo bora Mimi"
View attachment 2196616
Hahaha imetoka moyoni kweli hii[emoji23][emoji23][emoji23] dear sikujua wewe ni shabiki wa Man U
Basi nawatakia ushindi [emoji1544]
HahhahaAcha double standard rafiki, si ulinitakia ushindi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo unamtakia shunie, haya sema nani unamtakia ushindi.
Hivi si tulikwambia tu jamani hili ni jina tu [emoji1787][emoji1787]Ndio, mimi sio kapuku.