Sanaaa, baridi taamu kabisa.Na huko kwenu vipiiiiii inanyeshaaa
Arudi nyumbani sasa khaaah!! Waziri ana kazi gani sasa[emoji2297]Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameongoza uzinduzi wa Filamu ya Tanzania Royal Tour kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa Paramount, Los Angeles nchini Marekani leo tarehe 21 Aprili, 2022, hizi ni picha za baadhi ya matukio kutoka kwenye uzinduzi huo.View attachment 2196402
Safi sana.Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi.
Ameshinda pingamizi hilo baada ya Mahakama kukataa hoja zote saba za pingamizi la wasimamizi wa mirathi.
Hii ni mara ya pili kwa mjane huyo kushinda pingamizi kutoka kwa wasimamizi wa mirathi hiyo wanaopinga kusikilizwa maombi yake ya mapitioView attachment 2196419
Ushanipiga na kitu kizitoWeekend busy na kuwajibika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anasikia raha kuzunguka uchumi unazidi kushukaArudi nyumbani sasa khaaah!! Waziri ana kazi gani sasa[emoji2297]
Kweli bwanaUshanipiga na kitu kizito
HahahahaahaKweli bwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baridi dar hii auntie au ndio kibaha ulipohamiaSanaaa, baridi taamu kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapi huko tapeli kafanya niniMacho matatu atambe, ngoja ninyamaze[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupo hukoo anamsimanga tapeli.
Salama kabisa auntie yanguAuntie habari za mchana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naam bila pesa mapenzi hayaendi bwanaNa pesa ni sabuni ya roho.
🤣🤣🤣🤣Naam bila pesa mapenzi hayaendi bwana
Kweli bwana utaona mtu anakudharau tu kumbe pesa hakuna[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanao jenga wana mpango wa kuhamia dunia wapitaji tuendelee kula raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kujenga tuwaachie wengine
Wenye bahati yabkupendwa bila kuwa na pesa tujengeweKweli bwana utaona mtu anakudharau tu kumbe pesa hakuna