Makapuku Forum

Makapuku Forum

...nipo sana kaka, Ramadhan imekuficha kaka, hata hatualikani futru.

Nipo mjini, nitaweza kukucheki
Kaka ndio nmekuja mtaani kukucheki, kukupa mualiko rasmi.

Utokee upande wa pili unipasie namba yako ndugu yangu, simu yangu ili shake well before use, nikapoteza baadhi ya contacts ambazo hazikuwepo kwenye Google account.
 
Hahhaha aisee
A friend of mine aliorder suti kupitia kikuu ,akawa excited kuona suti yake .. alipopokea hiyo delivery alipewa suti ya mtoto wa miaka 6 .

Kwa vifaa vingine labda wapo vizuri ila kwenye oufits hapana
Ukiagiza kitu online lazima usome vizuuuri description, utizame vipimo vyake. La sivyo ukiagiza kwa kutizama picha ina eat to you, yaani inakula kwako
 
Back
Top Bottom