Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa
Siku hizi nakomaa kila iitwapo leo..
Kulia nimepunguza...
Vikinishinda si ninakuita...Maana ndugu yangu wewe na yake maneno yako
Kwendaaaaa!Swali zuri!!!
Ndio ndugu zako huna namnaNakosaje amani sasa na mnanipa stress tu kila siku
Tunadanganywa hivyo...
Babe this....Babe that, kikubwa Uhai
Nakosaje sasa Auntie Akeee..
Hiyo ni lazima, huna hata haja ya kuniomba...
Mimi huyu nakosaje?
Yangu keki Inifikie tu Auntie..Shughuli tutajua mbele kwa mbele..Hata kwenye chupa za kijani huko
Dota unataka kusema umementioniwa na wachambaji?Nimekuta mentions zenu, nusu nitupe simu. Nikajua nasutwa leo
Sasa alimaanisha mtu chake gani jamani?
Lipa madeni yangu tumalizane. Lasivyo nakufungulia uzi, nitaunganisha na Shunie humo humo.
Jinga kweli hili dudu, akili zake kama ndugu yangu mmoja hivi
Hatujambo Makaveli...Ndugu zangu wa daaamu kabisa, hamjambo humu?!?
Auntie upo kama mimi woiiii nikiwa na kitu nalia halafu nikimwadithia rafiki au ndugu napata unafuu
Siku hizi nakomaa kila iitwapo leo..
Kulia nimepunguza...
Vikinishinda si ninakuita...Maana ndugu yangu wewe na yake maneno yako
Iphone ya kikuu
Mkwe popote ulipo God is watching you.
Mbengo zetafongokhaaaaaaa!Mimi nimeokoka na nampenda BWANA aiseee
Naaam auntie hatujali wala nini mapenzi yakiisha tunamwachia Mungu tuTunadanganywa hivyo...
Babe this....Babe that, kikubwa Uhai
Kweli auntieAsikutishe huyo, achana nae. We jiandae kupokea zawadi ila sasa Dec kweli unazaliwa!!
sasa kwenye uzi sisi tunahusika vipi jamani
Haki alonirogea ndugu zangu aombe nisimtambue. Nikimtambua nakihamishia usoni.