Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
...wale wanaouza vitabu kwenye mabar wamekuuzia kitabu cha kujifunza kuhesabu!?






...wale wanaouza vitabu kwenye mabar wamekuuzia kitabu cha kujifunza kuhesabu!?






Eenh auntie ndio tunaamka sasa





Na hatujaliiii wala nini auntie halafu haturingiiiii
Mashabiki wa Simba hao..
Hatuna habareeee..




Jizazi! Itabidi nimwandikie barua Mello wakupige marufuku kubadili ID angalau mpaka mwaka huu upite![]()






...wale wanaouza vitabu kwenye mabar wamekuuzia kitabu cha kujifunza kuhesabu!?






Nimewanunia woteila auntie sijui umekososa pilau la jana

Kwendraaaa!
Hovyoooo.Na hatujaliiii wala nini auntie halafu haturingiiiii![]()
Shem una nini?
Siku ile ulipotaja ID zako zote ulizowahi kupitia niliandika mahala lakini sijui nilipotezea wapi hiyo notebook. Unaweza kuzirudia tena hapa ili niwe na kumbukumbu vizuri? Unachosha hata kukufuatilia aisee!
Ngosha huwezi kuninyima hiyo fantacy walah!! Hapa wameniambia ninaruhusiwa kubadili mara 2 tu mwaka huu nimewamind nataka nikakate rufaa kabisa.
...hujawahi kuuziwa vitu bar shemeji? Jamaa wanakuja wanauza kuanzia chupi.
Nimekaa na mama yenu tunakunywa wakaja wawili mmoja anauza shanga na mwingine aliponiangalia akaona kitambi akasema anauza vumbi la Congo.






Siku ile ulipotaja ID zako zote ulizowahi kupitia niliandika mahala lakini sijui nilipotezea wapi hiyo notebook. Unaweza kuzirudia tena hapa ili niwe na kumbukumbu vizuri? Unachosha hata kukufuatilia aisee!






Noted....with much thanks...
Atoto
Espy
Jael
Habun
Espy Eroni
Espy Atoto

.....haya yote majina yako shem!? Una undugu na John Mbatizaji!?
Atoto
Espy
Jael
Habun
Espy Eroni
Espy Atoto