Makapuku Forum

Makapuku Forum


Ngosha huwezi kuninyima hiyo fantacy walah!! Hapa wameniambia ninaruhusiwa kubadili mara 2 tu mwaka huu nimewamind nataka nikakate rufaa kabisa.
Siku ile ulipotaja ID zako zote ulizowahi kupitia niliandika mahala lakini sijui nilipotezea wapi hiyo notebook. Unaweza kuzirudia tena hapa ili niwe na kumbukumbu vizuri? Unachosha hata kukufuatilia aisee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom