Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Hilo jibu Shem. Uliza swali sasa..Yeye mtasimama nae?
Kilichofanyika juzi kati si unakumbuka?
Auntie anakuambia Shunie ana watu

Hilo jibu Shem. Uliza swali sasa..Yeye mtasimama nae?

Kwa nani sasa Shem?Kwa hiyo anko nimemuingiza chaka

Tulia ShemAsanteè...si mna timu makiii lakini

Naaaan kipenzi...Saluti kwako kipenzi major general
![]()
...acha tu kipenzi yaani huyu ni anko wangu kabisa wala hata sio wa kusingiziwa, ni kaka wa mama kabisa ila ndiyo wa kwanza kuniaharibia. Juzi tumaliza kula tukaenda baa kula mishkaki mhudumu anaitwa Judith akanielewa ila anko akatumia ujomba wake akaondoka naye. Mimi hata aunt sikumwambia sababu sipendi kumuharibiaSawa..
Kweli Adui wa mtu, ni mtu![]()
...nimeongeza sauti hapo ili nje wasisikie nikianza kukoromaNaaaan kipenzi...
Tulale sasa...
@ABJ nimekumis uko wapii jaman
we Lee wewe haya mimi hapa sasa
Nani alikutekaa babe wake mtuwe Lee wewe haya mimi hapa sasa
Hahaha mtekaji ndo alinitekaa.. mambo vipi?Nani alikutekaa babe wake mtu
NimekumissHahaha mtekaji ndo alinitekaa.. mambo vipi?
Na adui ni mtu wako wa karibu sanaa auntieSawa..
Kweli Adui wa mtu, ni mtu![]()