Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Auntie acha makasiriko basiSitakiiiiiii.
Auntie acha makasiriko basiSitakiiiiiii.
Hahaa kwamba ndiyo maana ukatutag kina kalumbu [emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilikuwa inahusu kula maparachichi selfika nitakuja nikipiga picha mpya si eti Saint Anne [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mniwache.Auntie acha makasiriko basi
Aunt wa shunyMniwache.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Asante auntie na kwako pia tunakupenda sana
Nyie atawatakia msemaji wenu[emoji23]Sie ambao hatuipendi Simba mbona hujatutakia wiki njema, huu ubaguzi sio wa nchi hii.
🤣🤣🤣Nyie atawatakia msemaji wenu[emoji23]
Semaji anakaa poa[emoji23][emoji23]Semaji kama semajiiii tena la robo fainaliView attachment 2175326
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miss you too my dear [emoji7][emoji7]
Ligi siku hizi nimeacha kabisa [emoji2211][emoji2211]
Watu na Brand zetu buana..Basi mama hili sibadili tena
Naona mlikuwa mnanisagia kunguni we na dada ako mnaua brand mjue
Kuna watu humu wananionaga mtakatifu sana hivyo nimeona nitumie na jina la kitakatifu zaidi ili nitambae na beat lao
Kwahiyo msiniharibie tafadhali
Tuishi Humu [emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua I'd ngeni auntie aliitag kumbe karma
Hiyo no.3 sitaku hata kuiona[emoji23]Etiiii tunamtaka naniiiiii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2175472
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na mimi wewe mwanamke.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zimefika shem wangu ...siku imeishaje huko[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nakusalimia Shem wangu.
Imeisha poa kabisa...Zimefika shem wangu ...siku imeishaje huko
Tunaimalizia kwaresma kimtindoImeisha poa kabisa...
Namshukuru Mungu sana...vipi wewe Shem wangu?
Kabisa Shem..Mungu ametuonekania...Tunaimalizia kwaresma kimtindo