Makapuku Forum

Makapuku Forum

BREAKING: Katibu wa Bunge la Tanzania Nenelwa Mwihambi amesema vikao vya Bunge ambavyo vitaanza jumanne ya April 05,2022 vitakua vikirushwa LIVE kwenye TV, hii ni baada ya maboresho ya studio ya Bunge na kamati ya Bunge kuridhia hivyo vikao vya mkutano wa saba wa Bunge unaotarajiwa kuanza kesho utakuwa ukirushwa LIVE.
Screenshot_20220404-174040_Instagram.jpg
 
BREAKING: Katibu wa Bunge la Tanzania Nenelwa Mwihambi amesema vikao vya Bunge ambavyo vitaanza jumanne ya April 05,2022 vitakua vikirushwa LIVE kwenye TV, hii ni baada ya maboresho ya studio ya Bunge na kamati ya Bunge kuridhia hivyo vikao vya mkutano wa saba wa Bunge unaotarajiwa kuanza kesho utakuwa ukirushwa LIVE. View attachment 2175548
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais Samia Samia Suluhu leo ameshiriki kwenye uzinduzi wa ugawaji wa vitendea kazi kwa Maafisa Ugani Kilimo Nchini Tanzania ambapo miongoni mwa walivyogawiwa ni pikipiki ili kuwarahisishia kazi zao.

"Tunakwenda kugawa pikipiki 6700 leo kwa Maafisa Ugani lakini pikipiki 300 zilishatangulia na ndio zile mlizoziona kwenye upimaji wa udongo, kwahiyo tumetoa pikipiki 7000 kwa Maafisa Ugani wote"

"Waziri alipoomba pikipiki nikakumbuka kwamba wale Bodaboda Matajiri huwa mnanunua pikipiki mnawapa na mnawaambia ukiendesha mwaka mmoja pikipiki inabaki yako sasa Maafisa Ugani miaka miwili nadhani ni muda mzuri, tukiwaambia miaka miwili na akijua ikimalizika itakuwa ya kwake atatunza pikipiki"

"Tutawapima kwa huduma sio kwamba kila Afisa Ugani baada ya miaka miwili pikipiki ni yake tutawapima kwa kazi mnazofanya, kwa ujumla hilo ombi nimelikubali litakwenda na masharti yake, Wizara ya Kilimo msimamie hilo ikiwezekana zifungeni GPS hizo pikipiki muone zinafanya kazi kiasi gani zinakwenda safari zipi" ——— Rais Samia.
Screenshot_20220404-174232_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom