[emoji23][emoji23][emoji23] si uende kwenye thread ya kubet watu wanawekaga mikeka yaoJitahidi bana...ata ya Ku kopi 😀😀😀😀
Ndio nimekumbuka hapa binamu....aunt, umesahau mimi ni mkulima wa korosho!?
Nafanya palizi usiku namaliza asubuhi
Amechokaaa babe wangu kanipaa yoteee baada ya ushindiii
Asante binamu yangu na kwako piaTuwe na wiki njema wadau wote wa Jukwaa hili zuri.
Ndugu yenu sijambo na kwa kuwa maisha ni haya haya basi nakutakia wiki njema wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie habari nimezipata asubuhu hiii za simba nlikwambia Lee ndio kanipa hizi habari magazeti sasa hivi naweka chap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amechokaaa babe wangu kanipaa yoteee baada ya ushindiii
Pole Auntie..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie habari nimezipata asubuhu hiii za simba nlikwambia Lee ndio kanipa hizi habari magazeti sasa hivi naweka chap
...tuzidi kubarikiwa anko. Asante nafurahi umeufurahia mzigo.Ankoo ...nakusalimia sana na ujumbe nimeupata uzidi kubarikiwa uwe na wiki njema
Hahahahaah umenikumbusha nusra ...yupo kweliii ?...tuzidi kubarikiwa anko. Asante nafurahi umeufurahia mzigo.
Nilisahau mzigo mwingine upitie pale kwa Nusra uliponiambia niache bodaboda yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amechokaaa babe wangu kanipaa yoteee baada ya ushindiii
Kumbe nawe unampenda mnyama 🦁 Simba.Pole Auntie..
Mimi jana ilinibidi kuangalia tu kwa kweli.. Pressure ilikuwa kubwa sana..
Sawa hebu Upload hapa Chap.. tusome vichwa vya habari siye.[emoji2]
Hiyo Bodaboda yako Ina kibali cha kuingia mjini Uncle?...tuzidi kubarikiwa anko. Asante nafurahi umeufurahia mzigo.
Nilisahau mzigo mwingine upitie pale kwa Nusra uliponiambia niache bodaboda yangu