Makapuku Forum

Makapuku Forum

Vitu tunapendaga [emoji847]
Screenshot_20220404-082624_Instagram.jpg
 
Leo auntie hataingia makapuku[emoji1787][emoji1787]
Jamani wanayanga wa makapuku na mnaopita kimya kimya hii week hata msiingie ni simba tu humu na mapicha yao
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa Auntie..hii wiki ni habari za Simba tu...Halafu Auntie nifanyie mpango wa jezi mpya.[emoji23]
Espy Eroni ngoja nitume mtu akamuangalie..Isije kuwa ameshindwa hata kutoka ndani...
ERoni mmeamkaje huko bhana?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa Auntie..hii wiki ni habari za Simba tu...Halafu Auntie nifanyie mpango wa jezi mpya.[emoji23]
Espy Eroni ngoja nitume mtu akamuangalie..Isije kuwa ameshindwa hata kutoka ndani...
ERoni mmeamkaje huko bhana?
Baada ya kushinda ukaona na mimi nije huku kwa makapuku sio😂😂😂😂 nimekukosea nini shem?😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa Auntie..hii wiki ni habari za Simba tu...Halafu Auntie nifanyie mpango wa jezi mpya.[emoji23]
Espy Eroni ngoja nitume mtu akamuangalie..Isije kuwa ameshindwa hata kutoka ndani...
ERoni mmeamkaje huko bhana?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa auntie mpaka leo huna jezi mpya kweliiii
 
Back
Top Bottom