Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Tu naanzaje kuwasahau manuu na lizziebettietwende bila kumsahau manuu
Wanaume wamerejea home
Mpe salamu zanguWifi yako ndo muuza nyanya K/koo nilienda kumsaidia
.......
Poa sanaNipo Dada. Za wewe
NakuonaPoa sana
Wow

Mapendo daima siku zoteWow
Mapendo daimaa
Daima mapendoooo
![]()
![]()
Apo naiona kuwa iko mujarabIko sawa mnoooo....![]()
![]()
![]()
ngoja na mimi nikatafte yanguNlisha mpotezea huyu shafii anajifanya mjuajiii saana
HahahahaDuuuh unatafuta ya mwezi mzima au
Mkuu kuna watu wanamaswali magumu saana....Sumbai katika ubora wako
Sukari imekuwa adimu kama wa mchangani alivyokosa ubingwa kwa miaka minneHahahaha
Nataka iwe ya kutosha mkuu c unajua uhaba wa hii kitu s mchezo