Makapuku Forum

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wameridhia rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kujiunga kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki na kuifanya Jumuiya kuwa na Nchi saba.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Uhuru Kenyatta ametangaza hilo wakati wa Mkutano wa Viongozi hao.
 
Hii itatufaa sisi wakulima
 
Jeshi la Polisi mkoani hapa linamsaka mkazi wa Nyarugusu, Masumbuko Sumbu (16) kwa tuhuma za kuwalawiti ndugu zake watatu wenye umri wa miaka 10 na mwingine minane.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amekiri kuwa Sumbu ambaye anajihusisha na shughuli za uchimbaji madini anatuhumiwa kuwalawiti watoto hao ambao ni wajomba zake anaoishi nao nyumbani kwa babu yao Kata ya Bukoli.

Wakizungumza na Mwananchi Digital watoto hao(majina tumeyahifadhi) wamedai kuwa, binamu yao huyo amekuwa akiwaingilia kinyume na maumbile kwa muda mrefu, lakini waliogopa kusema kutokana na kuwatisha kuwa atawaua.

β€œUsiku ukiingia kila mtu akiwa amelala anatuamsha na kutuambia tuvue nguo kisha anashusha suruali… anatuinamisha kwa zamu akitoka kwangu anakwenda kwa mwingine hadi wote watatu anapomaliza ndio analala,β€œ amesema mmoja wa watoto hao.
 
Kristoo 😳
 
Wajumbe wa timu za kutafuta suluhu ya vita vya Ukraine na Urusi leo Jumanne Machi 29, 2022 wameanza mazungumzo katika mkutano wao ana kwa ana uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki.

Mazungumzo hayo yamefunguliwa na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan akitoa wito wa kuyamaliza mapigano, kati ya nchi hizo mbili yaliyodumu kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

Watu takribani 20, 000 wamefariki huku wengine milioni 1o wakiachwa bila makazi na wengine zaidi ya milioni tatu wakiikimbia Ukraine.
 
akomeee D kukaa kuniongelea hovyo mtu unavaa mahereni ya makapu na ushamba wake uanze tu kuniongelea vibaya kabla haujamzungumzia mtu angalia yupojeee
🀣🀣🀣🀣 hereni za makapu !!!
Mpaka nimekumbuka mambo ya sabasaba na nyerere square reymage

Msamehe dada, chambo limemfikia. Aloooh πŸ˜†πŸ˜†
 
Rais wa Barcelona, Joan Laporta ameweka wazi kuwa hakuna uwezekano wa Lionel Messi kurejea klabuni hapo kwakuwa hakuna mawasiliano yoyote eidha kwa Messi au wakala wake ambaye ni Baba yake mzazi

Laporta ni rafiki kipenzi wa Messi na wengi walimpa kura wakiamini kuwa angemfanya Messi asalie Camp Nou, ijapo mambo yalienda tofauti na akatimkia zake Paris
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…