Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Sisi wazima sana hofu kwako tuKwa ujumla wazima humu ndani?
Sisi wazima sana hofu kwako tuKwa ujumla wazima humu ndani?
Nakukubali shunie akee.Nipo apa maka akee
Uzima wangu umekamilika,nilikuwa nawahofia ninyi.Sisi wazima sana hofu kwako tu
Mzee mwenzangu ...nashukuru tunapumua kwa uwezo wa AllahBaba mdogo wa bruce LEE, baba mkubwa wa jet LEE, habari yako mzee mwenzangu.
Namshukuru allah, kwema kabisa kakaMzee mwenzangu ...nashukuru tunapumua kwa uwezo wa Allah
Kwema lakin mkuu?
Siku nyingi majukumu yanakutingaNamshukuru allah, kwema kabisa kaka
Hapo ndo nilipokosea , ila kidogo nipigeUngenipigia sasa
Ni kweli kaka,mambo yanaingiliana ingiliana, ila tukitulia tunipita kujuliana hali zetu.Siku nyingi majukumu yanakutinga
Kikubwa uzima , na kujuliana hali kama hiviNi kweli kaka,mambo yanaingiliana ingiliana, ila tukitulia tunipita kujuliana hali zetu.
Kabisa kaka.Kikubwa uzima , na kujuliana hali kama hivi
mambo vp my shangaziHahahah we mzee bwana
Poa we mzee umeamkajemambo vp my shangazi
nimeamka vzr mno shangazi.natumai nawe umeamka poa my shangaziPoa we mzee umeamkaje
Nimeamka vizuri we mzeenimeamka vzr mno shangazi.natumai nawe umeamka poa my shangazi