Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Jamaniii nasikia rahaaaaa mimi na haya mapenzi ya baba wawii na babe[emoji175]
Jamaniii nasikia rahaaaaa mimi na haya mapenzi ya baba wawii na babe[emoji175]
Iko vizuri mbona? Chakula ya baba na mtoto imekaa poa 🥳 na wala hayako wazi sana[emoji3059][emoji3059] D acha kunijaza basi mwenyewe najishtukia ujue na hiyo avatar manyonyo njeee [emoji2356][emoji2356]kama naona nitakavyokandiwa ila uzuri najiamini sijali kitu
Shaka ondoa 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkishaonjana naomba familia tujue
Hahhahah sasa mbona ye mwenyewe hana taarifa baba wawiliHaha nilidhani ankoo Mswati alikupa taarifa
Sema kweli mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamerudisha majeshi wapi tena ankoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaka ako mtafutie wifi tu mwingineIko vizuri mbona? Chakula ya baba na mtoto imekaa poa [emoji3060] na wala hayako wazi sana
Nimeielewa haki [emoji3059] basi tu sina kaka [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba wawili uko wapi lakiniShaka ondoa [emoji1787][emoji1787]
Awww thank you mkuu [emoji120][emoji120] uzuri wa mtu upo machoni mwake
Ata sijui nmeandika nin[emoji23][emoji23][emoji23] wazamani na kina naniii
hahaha napenda muda wote ukiwa na furaha shangaziNafurahi kusikia hivyo we mzee
Sema kweli we mzee kwahiyo nisiitoe eenhhahaha napenda muda wote ukiwa na furaha shangazi
Nimependa avatara yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi weweAta sijui nmeandika nin
kweli kbs shangazi.ile nyingine pia nzuriSema kweli we mzee kwahiyo nisiitoe eenh
Sasa we mzee hueleweki niiache au niitoe hii mpyakweli kbs shangazi.ile nyingine pia nzuri
hahahahaha mie ujue nampenda shangazi yoyote kwangu nzuriSasa we mzee hueleweki niiache au niitoe hii mpya
Amkaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi wewe
Hahahah we mzee bwanahahahahaha mie ujue nampenda shangazi yoyote kwangu nzuri
Hata sijui nitaamka sa ngapi nimekuja kuweka magazeti narudi tena kulalaAmkaa