Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Jamaniii nasikia rahaaaaa mimi na haya mapenzi ya baba wawii na babe
Jamaniii nasikia rahaaaaa mimi na haya mapenzi ya baba wawii na babe
Iko vizuri mbona? Chakula ya baba na mtoto imekaa poa 🥳 na wala hayako wazi sanaD acha kunijaza basi mwenyewe najishtukia ujue na hiyo avatar manyonyo njeee
kama naona nitakavyokandiwa ila uzuri najiamini sijali kitu
Shaka ondoa 🤣🤣
Mkishaonjana naomba familia tujue
Hahhahah sasa mbona ye mwenyewe hana taarifa baba wawiliHaha nilidhani ankoo Mswati alikupa taarifa
Sema kweli mkuu
Iko vizuri mbona? Chakula ya baba na mtoto imekaa poana wala hayako wazi sana
Nimeielewa hakibasi tu sina kaka
![]()




kaka ako mtafutie wifi tu mwingine
Awww thank you mkuu

uzuri wa mtu upo machoni mwake
Ata sijui nmeandika ninwazamani na kina naniii
hahaha napenda muda wote ukiwa na furaha shangaziNafurahi kusikia hivyo we mzee
Sema kweli we mzee kwahiyo nisiitoe eenhhahaha napenda muda wote ukiwa na furaha shangazi
Nimependa avatara yako
kweli kbs shangazi.ile nyingine pia nzuriSema kweli we mzee kwahiyo nisiitoe eenh
Sasa we mzee hueleweki niiache au niitoe hii mpyakweli kbs shangazi.ile nyingine pia nzuri
hahahahaha mie ujue nampenda shangazi yoyote kwangu nzuriSasa we mzee hueleweki niiache au niitoe hii mpya
Amkaachizi wewe
Hahahah we mzee bwanahahahahaha mie ujue nampenda shangazi yoyote kwangu nzuri
Hata sijui nitaamka sa ngapi nimekuja kuweka magazeti narudi tena kulalaAmkaa