Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ahsante Dear...
Mambo humu ni tight kama kifuniko ya Gas Auntie.... Nimechekaaa

Akii nimesoma nikashtuka.. Wamekuchokoza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua vile mtu huna mazoea naye au anaweza tu kukusema ili mradi tu mara paap unakutana na like yake halafu kaitoa kumbe huwa ananifatilia kimyakimya like imemuumbua naona hatarudia tena au siku nyingine anifatilie tu kwa umakini sana
 
Si unajua vile mtu huna mazoea naye au anaweza tu kukusema ili mradi tu mara paap unakutana na like yake halafu kaitoa kumbe huwa ananifatilia kimyakimya like imemuumbua naona hatarudia tena au siku nyingine anifatilie tu kwa umakini sana

Nimecheka kama mazuri jamani..Kuna mambo ya ajabu humu...

Anyway, achana nayo Aunty Ake yasikupotezee muda...Next time atapita kwa Uangalifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20220306-072948_Opera%20Mini.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom