Ewaaaaaah ....Ya baridi eenh
Hahahaaha mkuu kwa niniUsinikumbushe enzi za Bitozi![]()
Woooooooiiiiii sijui niseme ndio sijui niseme sijui ...ila amekaa angle nzurii kwenye kupiga





Inakuja ulipoEwaaaaaah ....
Hahahahahahaha umeona
Au niifateee?Inakuja ulipo
mchango wa nn?Ikiwezekana hata kujichanga tutafanya Auntie...
Au "Friends of Shunie" tutajua nini cha kufanya.. Kwani Sh. Ngapi Aunty ake?
Sent using Jamii Forums mobile app
udhamini wa nn shangazi ,hebu niambieHahahahaha natamani aje a some huyu mzee. mtu chake kama namuona kwenye swala la udhamini
hahahahaha. Duh nishakua dogo? Dharau hz
Ifate tu hakuna shidaAu niifateee?
Panda uko juu we mzee utaona tu tulipoanziamchango wa nn?
Hahhaha ndio upande tu juu utaona kila kituudhamini wa nn shangazi ,hebu niambie
Kwa kweli hakuna namnaIfate tu hakuna shida