Hahaha kuwa happy bhana maisha ni haya hayaHahahha baba wawili acha uchokozi wako
Hahahha umeona eenh baba wawiliHahaha kuwa happy bhana maisha ni haya haya
Shunie maaaaamaaaah mod kafanyajee tenaHata sijui nacheka nini kumbe nafatiliwa![]()




Mmmmh.....Una kazi ya kunifatilia masikiniacha nikupe pole tu
Mara naona like mara haipokwahiyo ulibonyeza bahati mbaya wakati unanifatilia
![]()

Jamaniiiimwenzenu sijajua kama kuna watu wananifatilia hivii kumbe wanaingiaga kimyakimya kunisoma sasa leo like bahati mbaya imemuumbua


si bahat mbaya
Leo sku gani kwaniNitarudiiiiiiiiii.tunakesha humu leo kiwanja cha nyumbani
Kwani kuna habari gani kwani au chupa ya kijaniPale unapomfatilia mtu na like imekuumbua.ila leo nimefurahi sanaaa
Chupa ya kijani ipo kweli leo?Nasemaaa hiviii leo tunakesha makapuku forum kiwanja cha nyumbani![]()
Bahati mbaya kama hunifatiliiisi bahat mbaya
Hakuna chupa ya kijani leo nipo mimi kama mimiKwani kuna habari gani kwani au chupa ya kijani
Mod hausiki hapaShunie maaaaamaaaah mod kafanyajee tena![]()