Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), Aron Joseph ametangaza dau la Sh100,000 kwa mtu atakayetoa taarifa sahihi zitakazosaidia kukamata wezi wa maji.
Joseph alitangaza dau hilo wakati wa kuhamasisha mkakati wa kudhibiti wizi na uvujaji wa maji katika mitandao ya Duwasa kutokana na kuwapo maeneo mengi yanayovujisha maji katika mkoa huo, huku mengine yanadaiwa kutobolewa na wananchi.
Joseph alitangaza dau hilo wakati wa kuhamasisha mkakati wa kudhibiti wizi na uvujaji wa maji katika mitandao ya Duwasa kutokana na kuwapo maeneo mengi yanayovujisha maji katika mkoa huo, huku mengine yanadaiwa kutobolewa na wananchi.

