Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,016
- 454,024
'Tumeumizwa sana' ni kauli ya mmoja wa makomandoo aliyekuwa mlangoni kuzuia mashabiki kuingia uwanjani kushuhudia mazoezi ya Yanga yanayoendelea muda huu katika uwanja wa Sokoine Mbeya.
Yanga kesho itakuwa uwanjani saa 10:00 kumenyana na Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Yanga kesho itakuwa uwanjani saa 10:00 kumenyana na Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.