Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Rais wa Afrika Kusini amelaani marufuku ya kusafiri iliyowekwa dhidi ya Nchi yake na Nchi nyingine Jirani za Afrika kutokana na aina mpya ya kirusi cha Corona Omicron huku akisema hatua hiyo inavuruga uchumi wa Nchi hizo.
Ramaphosa amesema amesikitishwa sana na hatua hiyo na kutaka marufuku hiyo kuondolewa haraka.
Ramaphosa amesema kwa Nchi tajiri badala ya kuweka marufuku wanapaswa kusaidia kuinua uchumi wa Nchi zenye kirusi hicho kipya na kuwapa chanjo za kutosha, Uingereza, EU na Marekani ni miongoni mwa walioweka marufuku ya kusafiri.
Ramaphosa amesema amesikitishwa sana na hatua hiyo na kutaka marufuku hiyo kuondolewa haraka.
Ramaphosa amesema kwa Nchi tajiri badala ya kuweka marufuku wanapaswa kusaidia kuinua uchumi wa Nchi zenye kirusi hicho kipya na kuwapa chanjo za kutosha, Uingereza, EU na Marekani ni miongoni mwa walioweka marufuku ya kusafiri.



Clatous Chama hajatumika na Kocha Ibenge kwenye kikosi cha RS Berkane kwa michezo minne hivi sasa
Sio kweli kwamba Chama ni majeruhi bali kwasasa Kocha ameanza kumtoa kwenye mipango yake nchini Morocco
Clatous Chama tayari amewasilisha maombi rasmi ya kuondoka kikosini hapo na mchakato unaendelea kama nilivyoarifu hapo awali
Mchakato wa kuvunja mkataba unahitaji utulivu Mkubwa na kuheshimu kila hatua na kuendelea kuzingatia ratiba za timu, Chama amekuwa hivyo tangu siku ya kwanza
mtoto mlito mlito