

Farhan Jr
KOCHA NABI, KOCHA ZAHERA, KOCHA KAZE! HAKUNA MATATA
Upana wa bench la Ufundi imekuwa agenda duniani! Dunia imebadilika sana kwa Walimu! Benchi linataka Kocha wa mbinu, Kocha wa Man Management, Kocha wa Nature na nurturing
Ndio maana sasa hivi timu nyingi zinajaza benchi imara na pana sana! Ndio maana United walimuongeza Mike Phelan kwakuwa ni bora kwenye Man Management, ndio maana walimuongeza Carrick kwa kitu kama hicho
To me Yanga nawapongeza sana kuwa na Makocha watatu wa viwango vikubwa sana! CAF , CAF A na CAF A ni Quality kila eneo, hivyo kilichobaki ni muda kuamua! Hata Simba wana bench lao tena pana tu, and i like that
Mmoja kaniuliza swali kwanini walimfukuza Kaze na mbona wamemrudisha tena? Niwaambie tu kuwa Coaches are hired to be fired! Kumfukuza na kumrudisha Mwalimu inafanywa kwa SITUATIONAL ANALYSIS
SITUATIONAL ANALYSIS inasemaje? Ni kuwa malengo ya muda huu kayatimiza? Kama ndio kwa ukubwa gani? Kama sio ni kwa kiwango gani? Kisha wanafanya projection za WHAT IF? hapo ndipo duniani Kocha anaweza kurejea tena
Chelsea waliwahi kumtimua Jose Mourinho ila akarejea tena kufundisha! Real Madrid waliwahi kumtimua Carlo Ancelotti ila akarejea tena kufundisha! Huu ndio mpira kupitia SITUATIONAL ANALYSIS + WHAT IF ANALYSIS! Hivyo kumrejesha Kaze ni sahihi tu
Kuna Mtu akaniuliza Makocha wa viwango wote inawezekana vipi wakakubali kuwa Wasaidizi? Hapo nitamjibu kuwa Calvin Johnson alikuwa Head Coach pale Kaizer Chiefs ila ameenda kuwa Msaidizi wa Pitso Al Ahly, huu ndio mpira wa miguu
Mwisho, kuna Mtu akahoji hawa wataelewana? Niwaambie tu hii ni issue ya PERSONALITY tu! Mnaweza kupishana hata kama mna elimu tofauti na mnaweza kuendana hata kama mna elimu sawa!
Kwenye kazi hawa lazima waweke weledi na kusadiana! Jose Mourinho na Pep Guardiola waliwahi kuwa Wasaidizi wa Bobby Wiliamson pale Barcelona na Pep Guardiola aliwahi kuwa na Tito Vilanova kama Msaidizi na mambo yalienda! That's Football
Matola aliondoka Police Tanzania kwenda Simba kuwa Msaidizi ilhali kiutendaji alikuwa Mkuu pale Police! Hitimana alikubali kuwa Msaidizi Simba ilhali alitoka kuwa Mkuu kwingineko
THAT'S FOOTBALL