Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
na wamekatwa mshahara wa wiki ...Kocha wa Al Ahly mambo magumu
.
Pitso Mosimane amekalia kuti kavu kwa kitendo chake cha kupoteza mchezo wa Fainali ya Super Cup japo jana dhidi ya El Geish na muda wowote anaweza fungashiwa vilago
View attachment 1948417

