Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daktari: Balama yuko fiti, Kocha anaweza kumtumia
.
“Kwa sasa Balama Mapinduzi tayari amemaliza programu binafsi za mazoezi maalum aliyokuwa amepewa na benchi la ufundi na ameanza kufanya mazoezi ya pamoja na wenzake.
.
“Hivyo kutokuonekana kwake hakuna mahusiano na majeraha bali ni maamuzi ya kocha mkuu ambaye kutokana na utayari wa mchezaji husika anaweza kumpa nafasi.” - amesema Daktari wa Klabu ya Yanga, Shecky Mngazija.
Screenshot_20210923-040959_Instagram.jpg
 
Malengo ya Mtibwa Sugar msimu ujao ni kushika nafasi ya tatu au nafasi ya pili, ikiwezekana hata kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara ili kuwakilisha nchi kwenye michuano ya Kimataifa.

Thobias Kifaru, Afisa Habari Mtibwa Sugar.
Screenshot_20210923-102521_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom