“Nimeamua kuvunja taboo ya muda mrefu kwamba Wizara ya Ulinzi lazima akae Mwanaume mwenye misuli yake lakini kazi ya Waziri kwenye Wizara ile sio kupiga mizinga wala kubeba bunduki ni kusimamia sera na utawala wa Wizara, nikaamua Dada yetu Dr. Tax nimpeleke huko”
“Kipindi chote tukienda SADC, Dr. Tax alikuwa anasimamia vizuri mambo yote ya usalama ndani ya region na alikuwa ana upeo mkubwa katika maeneo ya Afrika Mashariki kwahiyo kwa uzoefu alioupata katika masuala ya usalama anakwenda kutusaidia huko, yeye anajua vizuri Askari wetu waliopo Msumbiji, DRC Congo na kwanini wapo huko mifumo yao, wanavyobadiliia na pia haki zao”————Rais Samia baada ya kuwaapisha Viongozi wapya leo Ikulu, Dodoma
View attachment 1936244