Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20210826-065635_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20210826-065701_Opera%20Mini.jpg
 
OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA
.
Huyu hapa Cristiano mwaka 2015 ::
.
Mwandishi: "Manchester City ina pesa nyingi, inawezekana kwamba siku moja, ikiwa watakupa ofa sahihi unaweza kujiunga nao?"
.
Cristiano Ronaldo: "Unafikiria pesa zinaweza kubadilisha mawazo yangu? Haiwezekani, kwa sababu kama utazungumzia juu ya pesa, basi nitaenda Qatar. Kwa maana wana pesa zaidi ya Manchester City, lakini hii sio kwa sababu ya pesa. Inahusu mapenzi yangu kwa Manchester United. "
.
Je! Ronaldo atajiunga na Manchester City?
Screenshot_20210826-191213_GBInsta.jpg
 
YANGA YASHUKA VIWANGO AFRIKA
.
Kwa mujibu wa Shirikisho la soka Afrika CAF, klabu ya Yanga imeshuka viwango vya Ubora Afrika hadi nafasi ya 56 huku ikiwa nafasi ya 4 kwa upande wa ukanda wa Afrika Mashariki.
.
Kwa upande wa watani wao Simba wapo katika nafasi ya 14 kwa ubora Afrika na wa Kwanza Afrika Mashariki wakifuatiwa na Gor Mahia na KCCA ya Uganda.
.
WANANCHI bila shaka msimu huu wana jambo lao kurejesha heshima kwenye viwango vya ubora Afrika
Screenshot_20210826-191817_GBInsta.jpg
 
MBAPPE SAGA | Kwa mujibu wa Marca miamba ya Uhispania, Real Madrid wameripotiwa kuwa muda wowote watathibitisha kukamilisha usajili wa Kylian Mbappe.
.
Mbappe anazidi kuwasukuma PSG wakubali ofa kwakuwa wakati anasaini 2017 aliwaambia ikitokea Real Madrid wanamuhitaji wamruhusu aende
Screenshot_20210826-192106_GBInsta.jpg
 
Mikel Arteta kuhusu kurejea kwa nwashambuliaji wake, Aubameyang na Lazazette, baada ya kuwa nje kutokana na COVID:

"Wote wawili ni muhimu sana kwetu kwani wanauwezo mkubwa wa kutikisa nyavu. Tunawahitaji ubora wao katika kazi, tunawahitaji katika kiwango bora na timu inapaswa kuwasaidia kufanya hivyo. ”
Screenshot_20210826-192207_GBInsta.jpg
 
farhan jr

Kuna vitu viwili vinafanyika kwenye project ya Simba chini ya CEO wao, bahati mbaya sana kuna mambo yasio maana sana yanapewa maana kuliko mambo muhimu yanayoendelea

Umewatazama vyema SIMBA kwenye dirisha la Usajili??__ Kuna mzani unatengenezwa kati ya BIASHARA na MAFANIKIO, ili vyote viende kwa pamoja na vilipe

Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi mapato makubwa hivi sasa ni dirisha la usajili ikiwemo ndio maana TP Mazembe wao wana kitu kinaitwa PRINCIPLE OF PERCENTAGE RESALE, sio kwamba hawana pesa ila mizani

Well kuna siku niliandika kuhusu Wachezaji muhimu wa Simba kuuzwa lakini nikiri wazi nilitazama kwa jicho moja tu, sikufumbua macho zaidi

Ni hivi Simba wamefanya mauzo makubwa sana kwa ukanda wetu, pengine mauzo ya kihistoria, wameingiza pesa nyingi sana kutoka kwa Wachezaji waliowapa mafanikio

Ukiwa mzani wa pesa umetiki vipi kuhusu mzani wa Mafanikio??___ ndipo hapo uitazame vyema akili ya Simba! Yule Peter Banda alikuwa Sherrif (Mkopo) klabu inayoshiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE, ana Under 23 lakini kasaini Simba

Watazame saini zao zingine za kimataifa wana umri mdogo sana (Footballing age) wamesajili zile njaa za kuhitaji mafanikio, hivyo mafanikio binafsi ya Mchezaji ndio mafanikio ya klabu

Wamechukua nyota watakaoingia na kuipa mafanikio Simba kwa muda mfupi sana, kama hawatoondoka na kuwaingizia pesa ya muda mfupi basi ni project ya muda mrefu ya kufanya vizuri ndani na nje

Umewaelewa vyema??___ wana utajiri wa network, exposure na platform ya kuuza mali zao popote hii ni BIASHARA NA MAFANIKIO kwa mpigo

ITAENDELEA.....
Screenshot_20210826-192905_GBInsta.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom