Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20210813-175532_GBInsta.jpg
 
NANI KUONDOKA NA CROWN?

NI siku saba (7) pekee zimesalia kabla ya nchi kusimama kwa muda kupisha pambano kubwa la masumbwi, litakalowakutanisha mabondia nguli wa uzani wa Super Middle (Kg 76) nchini, Dullah Mbabe na Twaha Kiduku.

Wawili hao watakutana Ijumaa ijayo Agosti 20, katika ukumbi wa ubungo Plaza Dar es salaam, katika pambano lao la tatu la marejeano lililopewa jina la 'PAYBACK NIGHT' wakiwania gari ya kisasa aina ya Crown.

Dullah Mbabe ambaye alipoteza pambano lililopita lililowakutanisha wawili hao amesema:"Twaha sio bondia, Twaha ni mbeba vyuma tu, hawezi kuwa bondia, mashabiki wangu wasiwe na wasiwasi tutashinda mapema tu."

Kwa upande wake Twaha Kiduku, amesema:"Naendelea vizuri na mazoezi, naomba mashabiki wangu waniombee na wategemee ushindi, Dullah Mbabe ni bondia mzuri lakini tutashinda kwa uwezo wa mungu."

Kesho tarehe 14 mabondia hao watakutana kwenye zoezi la 'FACE OF OF' mjini Morogoro, ambapo kutakuwa na mapambano 12 yatakayopigwa, huku pambano la Joseph Mchapeni na Dani Mwanafyale likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ngumi.View attachment 1890957
Hili pambano lazima niliangalie live dadeq.
 
Ashton Kutcher, muigizaji wa Hollywood alikua na miaka 13 wakati alipomtembelea pacha wake hospitali mara daktari akasema ana masaa machache afariki dunia kwasababu ghafla moyo wake ulikua haufanyi kazi.

Ili aendelee kuishi anahitaji moyo mwingine. Ashton akajiwa na wazo la kujiua kwa kujirusha kutoka juu ya paa la hoteli iliyoko karibu na hospitali ili moyo wake apandikizwe ndugu yake.

Wakati Ashton aliendelea kufikiria kujirusha baba yake akatoka nje akaamuliza unafikiria nini? Ashton akamwambia baba yake baba akamwambia huwezi kufanya hivyo ghafla dakati akaja mbio na kuwaambia wajiandae na Operation kuna mwanamke alifariki kwa ajali ya gari huko California moyo uko njiani unakuja.
Screenshot_20210813-175844_GBInsta.jpg
 
...binamu umepotea sana, nashukuru ninaendelea vizuri na naamini uko poa wewe na family. Tupo tu hapa na anko wangu ambaye mbali ya kuachika yuko kwenye harakati ya kurudi kule kule kwa zamani, msemo wake eti ya kale hayanuki
Mimi sijambo binamu, mambo tu yanaingiliana ila ni wazima kabsa...

Mjomba mbishi kuukubali ule msemo wa ukiachwa achika haha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom