Hawamaanishi wanachosema ila huongea ya maana...
Maandishi nayo yatema yakipotea ujue una laana...
Wana drama ukikwama lawama za bwana akikukana ni uhasama unanichanganya...
Simu yake ina pin na mapassword kila kona...
Na majina kama Cadabra kumbe ni ibra yaani Roma...
Na aliyem-save kama baba ndo yule hujiiba nae kinoma...
Ukienda kasi utaona love iko fasta kiasi kwamba your first lover hawez kuwa your last...
Unamuona mlupo kisa ulimgonga kwa mshiko anakuomba nadusko anaoga batonga anagonga vitu...
Unamuita darling my wife mamyto unapata habari za wanafki kuna walafi wanamla hadi jicho...
Unaemtaka haumpati utampata wapi Anaekutaka haumtaki haumpi nafasi...
Akikutega ukijiweka haukohoi utakesha tu unacheka ulishatekwa home boy...
Weka yeye atoe Asiya enzi na usimboe...
Wengi wanajua mapenzi lakini wachache wanaya-enjoy...
Mapenzi ya kweli ni kama jini Wachache ndo wameona muache anaokuona unanini...
Kusoma ujanja kama wanadada wa vyuoni kusoma mchana wanafanya uchangudoa jioni kisha wana-act kama virgin in the morning...
Ili picha uipate ficha flash wasiione...
Wengi hawa graduate na A wana graduate na Aids when graduate utawajuaje kwamba wanahitaji confess ilimladi wasexy na washikaji wasi wacheke waki-test blood wanawapa...
stresser uponyaji ni hadi aki-bless God...
Uliemchekesha unamliza na anajuta umemfirisii zaid ya gear reverse inavomaliza mafuta...
Wazamani nishamuacha na Mpya niliyempata yupo kwetu...
Mnachana mnachoma picha mna-change namba za phone Inakuumiza kichwa mapenzi yapo moyoni...
Muda unapita unamuenzi hadi ndotoni unagundua yule mshenzi hakupendi lakini hamkomi...
Akikutega ukijiweka haukohoi unakesha tu unacheka ulishatekwa homeboy weka yeye atoe asiya enzi na usimboe...
Wengi wanayajua mapenzi lakini wachache wanaya-enjoy....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.