Naomba nikutendee wema alafu niende zangu...Ukiwa mtenda mabaya wewe mwenyewe haujijui
Ukiwa mtenda mabaya kila unasema unaonewa
Ukiwa mtenda mabaya huko unakokwenda pia ni pabaya
Ebu nitendee basiNaomba nikutendee wema alafu niende zangu...

🥰😘😍Ebu nitendee basi![]()