Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Hongera sana maka unafunga na yuleyule chaukorofi au mwingine yote kwa yote hongeraNdugu zanguni, panapo majaaliwa tarehe 10 mwezi wa 10 nataraji kufunga ndoa, huko nzega, Tabora .
Hongera sana maka unafunga na yuleyule chaukorofi au mwingine yote kwa yote hongeraNdugu zanguni, panapo majaaliwa tarehe 10 mwezi wa 10 nataraji kufunga ndoa, huko nzega, Tabora .
HahahhahaSafi sana... Inapendeza sana...
Na ulisema hatutatoboa... na tumewatoboa...Hahahhaha
Hahahha acha niwe mpole tuNa ulisema hatutatoboa... na tumewatoboa...
Hapana shunie, si yeye, yule nilibwaga manyanga kitambo kile kile..Hongera sana maka unafunga na yuleyule chaukorofi au mwingine yote kwa yote hongera
Siku zote mbona wewe ni mpole... Cheupe dawa cha upole...Hahahha acha niwe mpole tu
Hahaha hapa nasingiziwa huwa naitwa chaukorofiSiku zote mbona wewe ni mpole... Cheupe dawa cha upole...
Ooh sawa maka hongera sana Mungu atie heri yake mfunge ndoa salamaHapana shunie, si yeye, yule nilibwaga manyanga kitambo kile kile..
Ooh sawa maka hongera sana Mungu atie heri yake mfunge ndoa salama
Yule angekuwa anakugombanisha na watu wako wa karibu kila siku mdada mkorofi sana ila ndio mapenzi sijui wivu kuna mda sisi wanawake tunajijua wenyewe
, sikuwa na namna zaidi ya kumtema kwa usalama wa afya yangu, maendeleo na mahusiano yangu kijamii
Ukorofi unao...Hahaha hapa nasingiziwa huwa naitwa chaukorofi
Wivu kwenye mapenzi mzuri sana unajua mpenzi wangu ananipenda ndio maana ana wivu ila sasa ukizidi sana sasa unakuwa wivu na ukorofi, maugomviAmin shunie akee..
Yule kivuruge.., sikuwa na namna zaidi ya kumtema kwa usalama wa afya yangu, maendeleo na mahusiano yangu kijamii
Wivu too much
Ila upole naju sina acha kunijaza kabisaUkorofi unao...
Unao kiasi chake... na vimacho vyako...Ila upole naju sina acha kunijaza kabisa
Ebu acha kunipa sifa sio zangu niache na vimacho vyanguUnao kiasi chake... na vimacho vyako...
Ngoja nikuudhi... Wewe ni Pisi kali...Ebu acha kunipa sifa sio zangu niache na vimacho vyangu
Ule wake sio wivu, ni uswahili..Wivu kwenye mapenzi mzuri sana unajua mpenzi wangu ananipenda ndio maana ana wivu ila sasa ukizidi sana sasa unakuwa wivu na ukorofi, maugomvi

Hahhaha yule mdada hapana jamaniUle wake sio wivu, ni uswahili..![]()
Umeanza eenhNgoja nikuudhi... Wewe ni Pisi kali...
Pasua kichwa.. Wivu kiwango cha SGRHahhaha yule mdada hapana jamani
He he ndio angekuwa chaguo lakoPasua kichwa.. Wivu kiwango cha SGR