Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 625
Uzi wa makapuku ndio huu sio.
Ndio huu mkuu karibuUzi wa makapuku ndio huu sio.
Unacheka kama mzuri vile... Unaona kama hivi unataka kukimbilia kitanda...


niache bwana vile napenda kitanda
Unapenda kitanda najua na unapenda ya kitandani pia...niache bwana vile napenda kitanda
Na nisipokuacha utanifanya nini?niache bwana vile napenda kitanda
Sema kweliUnapenda kitanda najua na unapenda ya kitandani pia...
😉 😉
Hata sijuiNa nisipokuacha utanifanya nini?
Yesu na Maria tena vile...Sema kweli
Nasinzia sana
Sanaaaaa wala si uwongoYesu na Maria tena vile...
Unapenda sana kulala...
Ogopa basi nikusindikize kwenye kulala...Sanaaaaa wala si uwongo
Safi sana... Inapendeza sana...Chelsea wameshinda ubingwa wa Ulaya baada ya kuifunga Man City 1-0 kwenye mchezo wa FAINALI.
Hongera kwa mashabiki wote CHELSEA
Mashabiki wa Chelsea kama nawaona leo sijui mtaamka saa ngapiView attachment 1802053