NaddySL
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 995
- 5,193
Hahahahaa 😂
Ila ana wivu jamani kama mimi nilivyo na wivu ebu vingine nimuulize tunavyofanana
Hahahahaa 😂
Ila ana wivu jamani kama mimi nilivyo na wivu ebu vingine nimuulize tunavyofanana
Hahahahaha nitamuuliza vingine tunavyofananaHahahahaa![]()
Akikujibu ulete mrejesho!😀Hahahahaha nitamuuliza vingine tunavyofanana
Ukute wabongo tumeenda tumeyakanyagakanyaga kwa ajili ya selfiez mpaka yamenyauka 😁Yanaweza kuwepo dear ebu jaribu kwenda halafu unipe mrejesho
Hahhaha ngoja nimuulize sasa hiviAkikujibu ulete mrejesho!![]()
Nikiwa the base hapa taifaMungu yupo upande wetu na hakika tumejipanga kushinda
Utaangalia mpira ukiwa wapi? View attachment 1786081
Hahhaha hamna bwana ebu nendaUkute wabongo tumeenda tumeyakanyagakanyaga kwa ajili ya selfiez mpaka yamenyauka![]()
Ngoja nimwonyeshe wa kufanana naye ila asiopenda maua kama atakubali kwenda kushangaa bustani ya MunguHahhaha hamna bwana ebu nenda
Hahahha si umeona wa kufanana na wako hamuendani hivyo vitu vya kufanana ni mtihaniNgoja nimwonyeshe wa kufanana naye ila asiopenda maua kama atakubali kwenda kushangaa bustani ya Mungu
Tunashukuru na kwako piaNawasalimu jaman jumapili njema
Dada shunie upo kitambo kweliTunashukuru na kwako pia