Makapuku Forum

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesikitishwa na kilichotokea jana na kupelekea mchezo wa Simba na Yanga kushindwa kufanyika, TFF imewaomba Wadau na Mashabiki wa soka kuwa watulivu wakati huu wakiwa wanashughulikia kikanuni suala hilo.
 
Nawakumbusha tena, hakuna kiasi cha pombe ambacho ni salama wakati wa ujauzito, sio bia tu hata mbege na ulanzi..kwa kifupi hauruhusiwi hata kuonja aina yoyote ya pombe ukiwa mjamzito... pombe wakati wa ujauzito inaweza kusababisha matatizo kwenye ubongo na inaweza kuathiri ukuaji..hali hiyo kitaalam inaitwa Fetal Alcohol syndrome kama anavyoonekana kwenye picha...! Sawa sawa!

Imeandikwa na Dr Paul Masua

Babe ukiona hata nimeshika chupa ya kijani kwenye mimba itupe jamani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…