Kama ulikua haufahamu ndo ilikua hivi Sasa
Huko Uingereza, katikati ya miaka ya 1960 kabla ya kuwepo kifaa cha kupimia mimba, vipimo vya ujauzito vilifanywa kwa kuingiza mkojo wa mwanawake kwa chura na kuangalia ikiwa kama atataga mayai ndani ya masaa kumi na mbili. Kama akifanikiwa kutaga basi mwanamke mwenye huo mkojo ana mimba.
Yote hii ilifanyika katika maabara.
Kipimo cha kwanza cha upimaji wa ujauzito kilitengenezwa mnamo mwaka 1971 ambacho mwanamke angeweza kupima mkojo wake mwenyewe na kungoja kwa masaa mawili ili kuthibitisha.
NaddySL njoo uone huku
View attachment 1771380