Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Wakati Marcelo Bielsa alipoanza kuwa Kocha wa Leeds United, aligundua kuwa shabiki wa kawaida lazima afanye kazi masaa 3 ili kupata pesa ya kulipia tiketi ya mechi.
Kwa hiyo siku moja aliwaita wachezaji wake wote pamoja na kuwaambia kuwa waokote takataka katika uwanja wa mazoezi kwa masaa matatu.
Alifanya ivo kwasababu alitaka wajifunze kufahamu jinsi mashabiki wanavyofanya kazi kutimiza mapenzi yao kwa timu hiyo.
Kwa hiyo siku moja aliwaita wachezaji wake wote pamoja na kuwaambia kuwa waokote takataka katika uwanja wa mazoezi kwa masaa matatu.
Alifanya ivo kwasababu alitaka wajifunze kufahamu jinsi mashabiki wanavyofanya kazi kutimiza mapenzi yao kwa timu hiyo.
