Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Shukrani ndugu yangu
Asantee ndugu wa faida
Shukrani ndugu yangu
Naam mjomba, upo sawa ndugu yangu?
Shunie mimi apa roho ya babe wangu![]()
Sina chupa ya kijani mimi ni mapenzi tu haya ninayopata yananifanya hivi nikipata chupa ya kijani sijui itakuwajeLeo kuna chupa ya kijani?
0-2
CR Belouizdad
️ Amir Sayoud 29’
️ Amhed Gasmi 45’
2-1
Al Hilal Club
️ Mohamed Ouattara 18 [OG]
️ Isaac Tshibangu 76’
️ Eid Mugadam 2’
KitochiKiswaswandu ndo nini
One of my favourite rapper...Rapper maarufu wa Marekani DMX amefariki leo Hospitalini New York, vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kwamba Rapper huyo amefariki leo akiwa na umri wa miaka 50, aliwaishwa Hospitali wiki iliyopita baada ya kuripotiwa kuzidisha matumizi ya dawa za kulevya. RIPDMXView attachment 1747795
Namsubiri yule mkaka wa jana aliyesema anamsubiri smart aje kulike post zangu tu
Smart ameshalike kama kawaida yake![]()
Hahahahaha kulike kwa kisogo na kisigino ndio kupo vipi etina like hadi kwa kisogo na kisigino...
Njoo nikuelekeze kwa vitendo...Hahahahaha kulike kwa kisogo na kisigino ndio kupo vipi eti
Njoo nikuelekeze kwa vitendo...


Kwa vitendo tena mbona unaniogopesha
Usiogope kwa maneno hotoelewa...Kwa vitendo tena mbona unaniogopesha
EeenhUsiogope kwa maneno hotoelewa...
Kwa vitendo hutosahau...
Sina chupa ya kijani mimi ni mapenzi tu haya ninayopata yananifanya hivi nikipata chupa ya kijani sijui itakuwaje





