︎Ota Benga alizaliwa 1883
︎1904 alipelekwa marekani kutoka congo kwaajili ya maonyesho
︎alifariki March 20/1916
︎chanzo cha kifo chake,alijiua kwa kujipiga risasi kutokana na depression
︎alizikwa Virginia
︎alikua na urefu wa ft 4 na 11 inch ( 150cm
︎wake 2
︎watoto 2