Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Utaweza hakuna kigumu chini ya jua...
Kama utaweza kunisindikiza, huwezi shindwa kunipa jibu la ndiyo...![]()



Sikupi na kukusindikiza nakusindikiza vizuri tu
Utaweza hakuna kigumu chini ya jua...
Kama utaweza kunisindikiza, huwezi shindwa kunipa jibu la ndiyo...![]()



Vibaya hivyo, Mungu hapendi...
Sikupi na kukusindikiza nakusindikiza vizuri tu
Na kukupa tenaVibaya hivyo, Mungu apendi...
Unipe tuu...
Na kunisindikiza utanisindikiza...

Umesema hunipi...Na kukupa tena![]()
Kwanza kukupa niniUmesema hunipi...
Ndiyo nasema unipe tuu ili usipate dhambi...



Kunipa jibu....Kwanza kukupa nini![]()
Nimeogopa yaani nimewaza vingineKunipa jibu....
Umewaza vipi hivyo vingine?Nimeogopa yaani nimewaza vingine
Niliwaza mbaliUmewaza vipi hivyo vingine?
Alafu binti kama wewe hupaswi kua muoga...
Unapaswa kua jasiri muongoza njia...
Niambie ulichowaza...Niliwaza mbali
Acha tu niwe muoga
HahahahNiambie ulichowaza...
Kama kibaya nakufinya ili utoke usingizini...
Unipe naweza otea uliwaza nini...Hahahah
Acha nibaki nacho tu
Ufanye uje. Nimekumiss sana. Safari hii na Geni aje.Ila nimekumiss ngoja kwaresma iishe nije kidogo kunywa mbili tatu