Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha baba wawili unafikili natania na mpaka nakuomba kweli nimezidiwa ile yenyewe sina jinsi

Halafu na kwa nini mpaka uombwe mwanaume jiongeze cheza nafasi yako kama mwanaume upo na mwanamke ana mahitaji yake
Sio mbaya kumkumbusha pia, unaweza kuta katingwa na majukumu mengine... Sema mabinti wengine huwa wanataka wakisema kitu kitimizwe muda huo huo
 
Unamkumbusha tu, kuliko kukaa kimya shunie, unakufa na shida zako hivi hivi
Baba wawili siwezi unajua mimi masikini jeuri yaani siku nikikwambia babe nina shida ya hivi na vile woiiii juwa nimebanwa sana na vyanzo vyangu vya pesa vyote vimebuma sina jinsi

Na kama nakutumia text simu naitelekeza kwa mda nije nikutane na jibu
 
Baba wawili siwezi unajua mimi masikini jeuri yaani siku nikikwambia babe nina shida ya hivi na vile woiiii juwa nimebanwa sana na vyanzo vyangu vya pesa vyote vimebuma sina jinsi

Na kama nakutumia text simu naitelekeza kwa mda nije nikutane na jibu
dah hiyo mbinu yako ya kutuma text sio ya mchezo, unajifanya kama umeisahau vile
 
Kazi kwenu
20210203_205335.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom