Makapuku Forum

Makapuku Forum

wanawake tusipende hela za kuomba mwanaume akikupenda atakupa mwenyewe hapo sasa pa kupewa mwenyewe sio kila mwanaume anaweza

Wanaume hawachukii kuombwa hela ila wanachukia kuuziwa unamuomba nani muda gani ni jukumu lako

Halafu na nyie wanaume mnatakiwa mjue wajibu wenu sio mpaka muombwe mjiongeze

Yaani kama mimi siwezagi kuomba kabisa na siku nikikuomba kweli nimeshikika tunaweza kuwa wote kumbe nipo na mashida yangu tu navumilia kuomba ni kipaji sio kila mtu anaweza

Baba wawili ukuje apa hizi mambo za pesa ndio unazipenda
20210203_145423.jpg
 
wanawake tusipende hela za kuomba mwanaume akikupenda atakupa mwenyewe hapo sasa pa kupewa mwenyewe sio kila mwanaume anaweza

Wanaume hawachukii kuombwa hela ila wanachukia kuuziwa unamuomba nani muda gani ni jukumu lako

Halafu na nyie wanaume mnatakiwa mjue wajibu wenu sio mpaka muombwe mjiongeze

Yaani kama mimi siwezagi kuomba kabisa na siku nikikuomba kweli nimeshikika tunaweza kuwa wote kumbe nipo na mashida yangu tu navumilia kuomba ni kipaji sio kila mtu anaweza

Baba wawili ukuje apa hizi mambo za pesa ndio unazipendaView attachment 1693391
Kwamba huwa unavumilia tu na unakuta uko na mashida yako kibao,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom