Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hahahha nidanganye kingine we mzeeUnaona sasa ,nilijua tu huwezi kukubali lkn ndio ukweli
Hahahha nidanganye kingine we mzeeUnaona sasa ,nilijua tu huwezi kukubali lkn ndio ukweli
Baba wawili unataka kujitoa sasa zile chupa za kijani za naniDah, tayali nmekuwa memba mwenzako
Sijakuona mimiNitekwe na nani shunie, nilikuwepo tu
Hakuna kingine chakudanganya ,na siwezi danganyaHahahha nidanganye kingine we mzee
Hahahha kama nakuona ulivyoandika hapo umeandika kwa kumaanishaHakuna kingine chakudanganya ,na siwezi danganya
Safi moud mzimaHabari za mchana wakulungwa
Yes,namaanisha kabisaHahahha kama nakuona ulivyoandika hapo umeandika kwa kumaanisha
Ha ha ha aah kumbe zile za kijani, chupa za Sprite zileBaba wawili unataka kujitoa sasa zile chupa za kijani za nani
Baba wawili unaamisha sijaona vizuri chupa za heinekenn zile zimekuwa za spriteHa ha ha aah kumbe zile za kijani, chupa za Sprite zile
H ha ha ha dah, nimeishiwa neno hapo ShunieBaba wawili unaamisha sijaona vizuri chupa za heinekenn zile zimekuwa za sprite
Hapana member mwenzangu usiishiwe neno tuendelee tu baba wawiliH ha ha ha dah, nimeishiwa neno hapo Shunie
Ha ha ha ha hapo utakuwa unawish weekend ifike mapema weweHapana member mwenzangu usiishiwe neno tuendelee tu baba wawili
Ha ha ha ha hapo utakuwa unawish weekend ifike mapema wewe





Pole
Kumbe ukikopeshwa songesha ndio ipo hivi ukiweka hela tu kwenye mpesa wanakata
Yani nilikuwa sijui mimi nisingeweka hela kabisa
Haya mambo tigo hayapo kabisa unalipa mwenyewe tu sio wanakata moja kwa moja kwenye tigo pesa![]()



Asante young nimepoaPole![]()
Ukute mwenyewe ulikuwa na bajeti nayoAsante young nimepoa