Makapuku Forum

Makapuku Forum



Kumbe ukikopeshwa songesha ndio ipo hivi ukiweka hela tu kwenye mpesa wanakata

Yani nilikuwa sijui mimi nisingeweka hela kabisa

Haya mambo tigo hayapo kabisa unalipa mwenyewe tu sio wanakata moja kwa moja kwenye tigo pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom