...unaanza kuharibu sasa, itabidi niende RITA nikaangalie kama undugu wetu ni wa ukoo au vipi
nimemsalimia tu anko wangu , haina haja ya kwenda RITA kwa unayonifanyiaa majibu unayo tayari ,,,wewe sio wa kunizunguka kwa cheusi wetu aka bulakaa buteeee...unaanza kuharibu sasa, itabidi niende RITA nikaangalie kama undugu wetu ni wa ukoo au vipi
Kwema bro, niajeKwema mkuu
Huu wa kwangu ni ukweli kabisaJapo uongo sio mzuri mda mwingine ila unasaidiaga some times

Na Mimi nitakuzodoa hadi unikimbieNilikuomba uwe mdogo wangu wa hiari ukakataa,sasa nitakuzodoa hadi ukome!

ni fresh , kuna mgeni humu ana mashaka na ukarimu wakoo ,,,Kwema bro, niaje
Kama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.ni fresh , kuna mgeni humu ana mashaka na ukarimu wakoo ,,,
....usiwe makini na mimi, kuwa makini na mama yenu mwanamaombi
hahahhaahahahahahahhaKama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.
Mwambie aje nimpe mbinu chache za hapa.
Vinginevyo huyo ni mzoefu alikuwa anapita humu kimyakimya
usinambieee ulilishaa tango , isije kuwa mnaelewana na anko wanguu sema anapenda wanawakee wazuri huyuuuu changamoto ,






Kama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.
Mwambie aje nimpe mbinu chache za hapa.
Vinginevyo huyo ni mzoefu alikuwa anapita humu kimyakimya





Anaanzagaa hivo nakupa tahadhar
Na anapenda wana maombi kama wewe






Nimemmis sana mama mchungaji , tulikuwa tunabarikiwa sanaKuna mama yetu humu alikuwa mama mchungaji wetu tunaamshwa kwa maombi tunalala kwa maombi toka alivyomteka mpaka leo hajarudi
Mwambie binamu obe amleteNimemmis sana mama mchungaji , tulikuwa tunabarikiwa sana
atakwambiaa umpigie msalimianee inaishiaa huko huko , naona alimfutia appl ya jfMwambie binamu obe amlete
MweeeKuna mama yetu humu alikuwa mama mchungaji wetu tunaamshwa kwa maombi tunalala kwa maombi toka alivyomteka mpaka leo hajarudi
