...unaanza kuharibu sasa, itabidi niende RITA nikaangalie kama undugu wetu ni wa ukoo au vipi
nimemsalimia tu anko wangu , haina haja ya kwenda RITA kwa unayonifanyiaa majibu unayo tayari ,,,wewe sio wa kunizunguka kwa cheusi wetu aka bulakaa buteeee...unaanza kuharibu sasa, itabidi niende RITA nikaangalie kama undugu wetu ni wa ukoo au vipi
Kwema bro, niajeKwema mkuu
Huu wa kwangu ni ukweli kabisa [emoji16]Japo uongo sio mzuri mda mwingine ila unasaidiaga some times
Na Mimi nitakuzodoa hadi unikimbie[emoji3]Nilikuomba uwe mdogo wangu wa hiari ukakataa,sasa nitakuzodoa hadi ukome!
ni fresh , kuna mgeni humu ana mashaka na ukarimu wakoo ,,,Kwema bro, niaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.ni fresh , kuna mgeni humu ana mashaka na ukarimu wakoo ,,,
....usiwe makini na mimi, kuwa makini na mama yenu mwanamaombi
hahahhaahahahahahahhaKama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.
Mwambie aje nimpe mbinu chache za hapa.
Vinginevyo huyo ni mzoefu alikuwa anapita humu kimyakimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ewaaaaaaaaah , sasa mbona anakuwa king'ang'aniziiiiiiii,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usinambieee ulilishaa tango , isije kuwa mnaelewana na anko wanguu sema anapenda wanawakee wazuri huyuuuu changamoto ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unamuongelea mtakatifu Anne, huyo siyo mgeni.
Mwambie aje nimpe mbinu chache za hapa.
Vinginevyo huyo ni mzoefu alikuwa anapita humu kimyakimya
Anaanzagaa hivo nakupa tahadhar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na anapenda wana maombi kama wewe
Nimemmis sana mama mchungaji , tulikuwa tunabarikiwa sanaKuna mama yetu humu alikuwa mama mchungaji wetu tunaamshwa kwa maombi tunalala kwa maombi toka alivyomteka mpaka leo hajarudi
Mwambie binamu obe amleteNimemmis sana mama mchungaji , tulikuwa tunabarikiwa sana
atakwambiaa umpigie msalimianee inaishiaa huko huko , naona alimfutia appl ya jfMwambie binamu obe amlete
Mweee[emoji134]Kuna mama yetu humu alikuwa mama mchungaji wetu tunaamshwa kwa maombi tunalala kwa maombi toka alivyomteka mpaka leo hajarudi