Kweli kabisaaaaaaaJichekee tu maisha ndio hayahaya matamu sana na mafupi sana ukipata nafasi ya kufurahi furahiii tu
Ukipata nafasi ya kupendwa pendwa tu
Ukipata nafasi ya kumpenda mtu mpende tu mshikilie usimwachie
Karibu msambaa mwenzangu
OkayKaribu msambaa mwenzangu


Hahha kwamba kinywaji ninachokunywa ni kama soda kakaOkay
Hapo Unakunywa vinywaj laini ukipata kali itakuaje![]()
Hapo kwenye mtu mzima nimecheka sanaSasa me siwezi shindana nao ujue me mtu mzima baba wawili siwezi jamani
Ukiona mtu anacha sura wazi ujue mgeni jf hata mwaka hana




Kabsa sana, unaingiza miguu miwiliJichekee tu maisha ndio hayahaya matamu sana na mafupi sana ukipata nafasi ya kufurahi furahiii tu
Ukipata nafasi ya kupendwa pendwa tu
Ukipata nafasi ya kumpenda mtu mpende tu mshikilie usimwachie


MkuuKweli kabisaaaaaaa
Kutana na lee kapuku wa kwanza kukubali msemo usemao ukiachwaa achika




,hatimayeSamaki sato, unawapenda shunie?Kama nakuona unavyokula masamaki
Baba wawili ujue niko na miaka 50 mimi sasa si zaidi ya utu uzima huoHapo kwenye mtu mzima nimecheka sana![]()
Kabsa sana, unaingiza miguu miwili![]()


Yaani miguu yote jamani baba wawili napenda haswa aliyependwa na mimi analijua hiloMiaka 50 kwa miguu ile? Tuache bwanaBaba wawili ujue niko na miaka 50 mimi sasa si zaidi ya utu uzima huo
Nawapenda sana na sangara baba wawiliSamaki sato, unawapenda shunie?
Ushikaji ukishindikana mnahamia ukaka na dadaYaani miguu yote jamani baba wawili napenda haswa aliyependwa na mimi analijua hilo
Ila sasa nikikuvumila we havivumiliki nikiondoka sirudi nyuma hata ufanye nini tutakuwa washkaji tu mapenzi tena hakuna na kama ushkaji pia hauutaki sawa tu hakuna shida