Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jichekee tu maisha ndio hayahaya matamu sana na mafupi sana ukipata nafasi ya kufurahi furahiii tu

Ukipata nafasi ya kupendwa pendwa tu

Ukipata nafasi ya kumpenda mtu mpende tu mshikilie usimwachie
Kweli kabisaaaaaaa

Kutana na lee kapuku wa kwanza kukubali msemo usemao ukiachwaa achika
 
Ujue sisi wanawake bwana tukichoka tumechoka

Nitakuvumilia tabia zako mwisho wa siku nikiondoka sigeuki nyuma ndio tupo hivyo nitajishusha sana lakini mtu akichoka amechoka

Msiwafanyie vituko umpendae jamani kama bado unampenda
 
Yaani miguu yote jamani baba wawili napenda haswa aliyependwa na mimi analijua hilo

Ila sasa nikikuvumila we havivumiliki nikiondoka sirudi nyuma hata ufanye nini tutakuwa washkaji tu mapenzi tena hakuna na kama ushkaji pia hauutaki sawa tu hakuna shida
Ushikaji ukishindikana mnahamia ukaka na dada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom