Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ndiwooo...Kwani nilipotea humu
Au Umesahau jamani
Ndiwooo...Kwani nilipotea humu
We mzee bwanaHahahaha, ewaaaa iko normal sasa
Mungu ni mwema sana jamani, utasahau kabisaa mpaka uwe muumini wa mirinda nyeusiAmeeeenzidi kuniombea tu Nina miezi mingi sijanywa mpaka naisahau
Yaani siku hizi sijui nimekuwaje na jf sijui ndio utu uzimaNdiwooo...
Au Umesahau jamani
Mungu ni mwema sana jamani, utasahau kabisaa mpaka uwe muumini wa mirinda nyeusi



Hiyo soda nainywa nikiwa na hamu nayo iwe ya baridiiiiiWewe mzee ake Shunie hata husemi Asante mekuletea mtu wakoHahahaha, ewaaaa iko normal sasa
Unakuwaga wapi eti jamaniYaani siku hizi sijui nimekuwaje na jf sijui ndio utu uzima
Nipo nje ya maisha ya jfUnakuwaga wapi eti jamani
Wewe mzee ake Shunie hata husemi Asante mekuletea mtu wako



Shukrani ya punda nikikumbuka nilivyomkuta analiaOooh....Nipo nje ya maisha ya jf
Hebu niambie tuu jamani...halafu hasemi hata Asante jamaniShukrani ya punda nikikumbuka nilivyomkuta analia
Oooh....
Ama tiktok




Waiiiiii acha vingine vinipite tu uko tiktok nikafanye nini na huu uzee nani anataka kuwa nusu chizi
Hata mie nashangaa ngoja nipotee sasa na hivi story ya kupost entertainment nimeshaimaliza sijui lini nitaingia tena jf mana story ndio ilikuwa inaniingizaHebu niambie tuu jamani...halafu hasemi hata Asante jamani
Hivi hiyo app iko playstore?? Maana hata sielewiWaiiiiii acha vingine vinipite tu uko tiktok nikafanye nini na huu uzee nani anataka kuwa nusu chizi
Ndo atajua hajuiHata mie nashangaa ngoja nipotee sasa na hivi story ya kupost entertainment nimeshaimaliza sijui lini nitaingia tena jf mana story ndio ilikuwa inaniingiza
Ahsante, Sakayo nisameheHebu niambie tuu jamani...halafu hasemi hata Asante jamani
MnisameheHata mie nashangaa ngoja nipotee sasa na hivi story ya kupost entertainment nimeshaimaliza sijui lini nitaingia tena jf mana story ndio ilikuwa inaniingiza