Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu yangu Obe hawezi nifanyie kitu kibaya, zile ni fitina za mjombaa wangu tu

....... bora umetambua hili binamu, anko wetu kwa fitna hawezekani ndo maana mimi huwa natishia kumroga tu ndo tunaelewana.

Weekend ilikuwaje binamu? Kwangu ilikuwa poa sana nashukuru. Nikutakie wiki Njema.
 
.....niwatakie jtatu na wiki njema watu wote mnaosababisha jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo..
Wewe ni sababu ya kunifanya niwe hapa.

Tutaonana jioni maana mida ya kuwahi kwenye foleni ya malipo ya korosho, imetangazwa tunaodai utalipwa,,,😄😄😄😄

Wote mnaonidai endeleeni kuwa wavumilivu, na nitakaokuja chemba kuwakopa heshimuni ahadi ya serikali, ninakopesheka.
Upendo mwingi na siogopi kulisema hili kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom