Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Sijaenda naye ameniacha nyumbani mimi na presha naweza kuanguka uko tukifungwaHujaenda naye?
Sijaenda naye ameniacha nyumbani mimi na presha naweza kuanguka uko tukifungwaHujaenda naye?
Ngapi ngapi huko?Sijaenda naye ameniacha nyumbani mimi na presha naweza kuanguka uko tukifungwa
Upo wapiJamani narudia tusikimbiane baadaye
[emoji23] [emoji23] [emoji23]yna2 kuna watu wamepota hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Upo wapi
Kuonekana hapa hadi kesho😂😂[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shunie kibonge mwenzangu Kuna habari gani jioni hii..!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mikwara ya mchana..chaliiiiiiKuonekana hapa hadi kesho[emoji23][emoji23]
Binamu yangu Obe hawezi nifanyie kitu kibaya, zile ni fitina za mjombaa wangu tu
Hahaha, Upo chibonge[emoji23][emoji23][emoji23] huu Uzi bwana..najikutaga nacheka na comments
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha,niambie Shunie wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mzee bwana
Kugandana gandana, kuzuga tunapendana mwisho twaanza kuulizaba sitaki mila sizitaki nyama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mapenzi yana wenyewe, si wengine tuwache shobo tutazikwa wazima wazima [emoji1732][emoji1732][emoji1732]
DahKukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Kimya sana ,asee ,usifanye hivyo ,nitatuma mzigo halafu usijue
Nipo Sana ukimya upo kwakoKimya sana ,asee ,usifanye hivyo ,nitatuma mzigo halafu usijue
Hahahaha,si kweli , ngoja nije mitaa yako