Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nakumis namis kila kituuuu kwakooooooooooAkija mwambie nimemiss ile kiukwelu ukwelu yani![]()
Nakumis namis kila kituuuu kwakooooooooooAkija mwambie nimemiss ile kiukwelu ukwelu yani![]()
Tuheshimianeee mkuuundio, nimefanya remix ya ule wimbo wa pepe kalle unaitwa hidaya mi nimeweka jina shunie
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni wivuuuu tuuuu mjombaaaaaaaaAtaona mwenyewe bwana,,nikimwambia atajimwambafai mno![]()
Nakupendaa sanaaaaaaaaaaaaaaaa
Nakumis namis kila kituuuu kwakoooooooooo





Ni wivuuuu tuuuu mjombaaaaaaaa
Napendwaaa nadekezwaaaaa napewaa kila kitu ...wewe je ?



Nipigieeeeeee baby
Swty akeeeeBabe akee![]()
Tena video callLabda kwa WhatsApp call
Asanteeeee swty
Nakukumbusha tu, kesho ni siku ya comedy
Ni wivuuuu tuuuu mjombaaaaaaaa
Napendwaaa nadekezwaaaaa napewaa kila kitu ...wewe je ?
Unapendwa kupigiwa hadi uombe?...Nipigieeeeeee baby



Utamuuwa huyu mzee, shauri yakoLabda kwa WhatsApp call
Hahahaha,nipo shangazi nawasoma tu ,niaje lkn Shunie wangu
Hapo kwenye wangu ndo sijaelewaa mzee mwenzangu


huu Uzi bwana..najikutaga nacheka na comments
Usicheke kuna watu wanaletaa utani kwenye mali ya mtu
Mjombaaa nakuonaNakukumbusha tu, kesho ni siku ya comedy
Mapenzi ni kubembelezana ,wewe umezoea wale wa kuzoa pale konaUnapendwa kupigiwa hadi uombe?...![]()
Kizuri kula na mwenzio mwayaUsicheke kuna watu wanaletaa utani kwenye mali ya mtu