Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Enjoy Yna!!
Mmmh
aisee, utamsalimia bhana ni muda mrefu sasa,, hata likes ni bila bila
![]()



Mimi mwenyewe simuoni tunaoana kwenye mastory entertainment siku moja moja


mwambie king akupe dawa anayotumia yeye kila kukicha ana mpya akitoka huyu anakuja mwingine
Nauliza mmepeana wapi jamani
Nauliza mmepeana wapi jamani


ningendako shunny wa Lee anaomba jibu
Mimi mwenyewe simuoni tunaoana kwenye mastory entertainment siku moja moja
Baba wawili usiniambie na likes umeshaachwamwambie king akupe dawa anayotumia yeye kila kukicha ana mpya akitoka huyu anakuja mwingine




Mimi najua upo taifa saa hizi
Aje tu kwakweli
Jaman tumepeana nini tenaMmmh
Mmepeana wapi eti

Ok sawa shunie..Mimi mwenyewe simuoni tunaoana kwenye mastory entertainment siku moja moja
Baba wawili usiniambie na likes umeshaachwamwambie king akupe dawa anayotumia yeye kila kukicha ana mpya akitoka huyu anakuja mwingine


Si ile ofa Yna
Kuhusu ofa, nmempatia ofa ya kuagiza kinywaji kwan ni Yanga kindakndak na tunaamn leo tunashinda pale TaifaAje tu kwakweli
Kwemaa chief
Hiyohiyo baba wawiliJaman tumepeana nini tena![]()
Sawa tupo hapaKuhusu ofa, nmempatia ofa ya kuagiza kinywaji kwan ni Yanga kindakndak na tunaamn leo tunashinda pale Taifa
Hujaenda naye?Babe wangu Lee kama nakuona kwenye foleni ya kuingilia taifa na jezi yako![]()
Ok sawa shunie..
Sasa hivi napitia past paper mbalimbali za King ila nami niweze kuwa kama King a.k.a Mswati![]()




