ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
akaa mtu kabisa anasifia mwingine laivu laivu nami naona afu nirudii Sina moyo wa chuma Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app



Mimi moyo wangu wa plastic hautaki shida kabisa




Poaa
Mmmmhhh
Kwa majina naitwaa fundiiiii wa maji
Mimi moyo wangu wa plastic hautaki shida kabisa
Sent from my iPhone using Tapatalk




Hata sijaelewa kabisaaNakuachaje
Sent from my iPhone using Tapatalk
Popote mlipo ninyi watu mbarikiwe, natumaini mu wazima wa afya..Nidhamu na Hekima viwe nguzo za maisha yenu.
Muongo huu mpya uwe wa heri na baraka kwenu..
(Nimejikuta nawakumbuka tu ndugu wa humu...wa kipindi hicho Makapuku ikiwa makapuku kweli)
List itakua updated kadri nitakavyokumbuka majina

kuhusu hili mbona tulishaongea binamu,,
huyo ni my telemundo binamu..
Ameena kibongeAmeen vinc
Sent from my iPhone using Tapatalk
Woiiiiiii..
Hivi kipimo cha kumiss mtu ni aje.?
Au kumiss hakuna SI Unit

Kwani mnaongelea nini? Story inakuja halafu inakata hivi



Baba wawili kikubwa wenyewe tumeshaelewana tunachoongeaHii ilikua zamani My wangu..
Kwa sasa nimekua kijana mstaarabu

Hawa ni warabu wa pemba..
Kuna muda shunie anakua mwenyewe hapa anajiongelesha huwezi muelewa![]()





Nimecheka sana